Je, una hakika kabisa?
Biblia Inatuambia kwamba tunaweza kujua bila shaka kwamba tunaenda Mbinguni…
“Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu.” Waraka Wa Kwanza Wa Yohana 5:13
Kujua kwa hakika, lazima tujue…
1. Sisi wote ni wenye dhambi
“Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.” Warumi 3:23
2. Tulitumwa Mwokozi
“Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sis, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” Warumi 5:8
3. Tunapewa zawadi
“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.” Warumi 6:23
4. Tunaweza kuungama na kuita
“Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,
na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.” Warumi 10:9-13
Ikiwa huna hakika kabisa, au utapenda kujua zaidi, tafadhali wasiliana nasi.
“Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu.” Waraka Wa Kwanza Wa Yohana 5:13
Kujua kwa hakika, lazima tujue…
1. Sisi wote ni wenye dhambi
“Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.” Warumi 3:23
2. Tulitumwa Mwokozi
“Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sis, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” Warumi 5:8
3. Tunapewa zawadi
“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.” Warumi 6:23
4. Tunaweza kuungama na kuita
“Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,
na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.” Warumi 10:9-13
Ikiwa huna hakika kabisa, au utapenda kujua zaidi, tafadhali wasiliana nasi.